Home > Terms > Swahili (SW) > dhambi asili

dhambi asili

dhambi ambayo kwayo binadamu wa kwanza waliasi amri ya Mungu, kwa kuchagua kufuata mapenzi yao wenyewe badala ya mapenzi ya Mungu. Matokeo walipoteza neema ya utakatifu ya awali, na kuwa chini ya sheria ya kifo; dhambi kuwa wote sasa duniani. Mbali na dhambi ya binafsi ya Adamu na Hawa, dhambi ya asili inaeleza hali ya anguko la asili ya binadamu ambayo huathiri kila mtu amezaliwa duniani, na ambao Kristo, "mpya Adam," alikuja kutukomboa sisi (396-412).

0
Tilføj til Min ordliste

Hvad vil du sige?

Du skal logge på for at sende kommentarer til diskussioner.

Terms in the News

Featured Terms

Jonah Ondieki
  • 0

    Terms

  • 0

    Ordlister

  • 1

    Followers

Branche/domæne: Government Category: American government

kuongoza kutoka nyuma

Msemo ambao unasemekana kutumika na Ikulu ya Rais Obama kuelezea vitendo vya Marekani huko Lybia kama "kuongoza kutoka nyuma." msemo huu ...

Featured blossaries

Christian Prayer

Kategori: Religion   2 19 Terms

Andorra la Vella

Kategori: Travel   3 22 Terms