Home > Terms > Swahili (SW) > huduma

huduma

huduma au kazi ya utakaso inayofanywa kwa mahubiri ya neno na maadhimisho ya sakramenti na wale wa Daraja (893, 1536), au katika hali ya kuamua, kwa walei (903). Agano Jipya linazungumzia aina za huduma katika Kanisa; Kristo mwenyewe ndiye chanzo cha huduma katika kanisa (873-874). Maaskofu, makuhani, na mashemasi wametakaswa kuwa wahudumu katika Kanisa (1548).

0
Tilføj til Min ordliste

Hvad vil du sige?

Du skal logge på for at sende kommentarer til diskussioner.

Terms in the News

Featured Terms

DEBORA KAYEMBE
  • 0

    Terms

  • 0

    Ordlister

  • 7

    Followers

Branche/domæne: Government Category: U.S. election

ukanda wa wafu

Kipindi kiasi utulivu wa msimu wa kampeni ambayo kwa kawaida huwa unaangukia kati ya msingi Florida na mashindano uliofanyika katika Arizona na ...