Home > Terms > Swahili (SW) > anemia

anemia

Kupungua kwa idadi ya seli nyekundu za damu, kwa kawaida kutokana na uhaba wa madini ya iron. hali, inayogunduliwa baada ya uchunguzi wa damu, husababisha dalili kama vile uchovu, unyonge, kuishiwa na pumzi, au kuzirai. Kula chakula kilicho na chuma na kuongeza kuchukua chuma katika nusu ya pili ya mimba ni muhimu kuweka juu na haja ya kuongezeka kwa seli nyekundu za damu.

0
Tilføj til Min ordliste

Hvad vil du sige?

Du skal logge på for at sende kommentarer til diskussioner.

Terms in the News

Featured Terms

Michael Mwangi
  • 0

    Terms

  • 0

    Ordlister

  • 0

    Followers

Branche/domæne: Fruits & vegetables Category: Fruits

Ndizi

tunda maarufu zaidi duniani aina inayopatikana zaidi kutoka Marekani ni ya Cavendish ya manjano Zinachumwa mbichi na hupata ladha bora zikiiva bila ...

Featured blossaries

The strangest diseases

Kategori: Health   1 23 Terms

Disney Characters

Kategori: Arts   1 20 Terms